Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 6:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Sasa Haruni alimwoa Elisheba, binti ya Aminadabu, dada ya Nashoni.+ Akamzalia Haruni wana hawa: Nadabu, Abihu, Eleazari, na Ithamari.+

  • Kutoka 38:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Ifuatayo ni orodha ya vitu vilivyotumiwa kutengeneza hema la ibada, yaani, hema la Ushahidi.+ Orodha hii ilitayarishwa kwa amri ya Musa, na lilikuwa jukumu la Walawi+ kuitayarisha chini ya uongozi wa Ithamari+ mwana wa Haruni kuhani.

  • 1 Mambo ya Nyakati 6:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Watoto* wa Amramu+ walikuwa Haruni,+ Musa,+ na pia Miriamu.+ Na wana wa Haruni walikuwa Nadabu, Abihu,+ Eleazari,+ na Ithamari.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki