Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 13:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kuhani akikiona kidonda hicho kibichi, atatangaza kwamba mtu huyo si safi.+ Kidonda hicho kibichi si safi. Ni ukoma.+

  • Mambo ya Walawi 13:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 kuhani atalichunguza doa hilo. Ikiwa nywele zimebadilika na kuwa nyeupe katika doa hilo na inaonekana limepenya chini ya ngozi, ni ukoma uliotokea kwenye kovu, basi kuhani atatangaza kwamba mtu huyo si safi. Ni ugonjwa wa ukoma.

  • Mambo ya Walawi 13:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 kuhani atachunguza kidonda hicho.+ Akiona kwamba kimepenya chini ya ngozi na nywele za sehemu hiyo ni za manjano na ni chache, kuhani atatangaza kwamba mtu huyo si safi; ni ugonjwa unaoathiri ngozi ya kichwa au kidevu. Ni ukoma wa kichwa au wa kidevu.

  • Mambo ya Walawi 13:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Lakini mtu akipata kidonda chenye mchanganyiko wa rangi nyekundu na nyeupe kwenye upara au paji la uso, ni ukoma unaotokea kwenye upara au paji lake la uso.

  • Hesabu 12:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lile wingu likaondoka juu ya hema, na tazama! Miriamu alikuwa amepigwa kwa ukoma mweupe kama theluji.+ Kisha Haruni akageuka na kumtazama Miriamu, akaona kwamba alikuwa amepigwa kwa ukoma.+

  • Hesabu 12:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Tafadhali, usimwache aendelee kuwa kama mtu aliyezaliwa akiwa amekufa, ambaye nusu ya mwili wake imeoza!”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki