24 Wadudu hao watawafanya msiwe safi. Kila mtu anayegusa mizoga yao hatakuwa safi mpaka jioni.+25 Kila mtu anayebeba mizoga yao anapaswa kufua mavazi yake;+ hatakuwa safi mpaka jioni.
46 Lakini mtu yeyote atakayeingia ndani ya nyumba hiyo siku yoyote itakapokuwa imetengwa,+ hatakuwa safi mpaka jioni;+47 na yeyote anayelala katika nyumba hiyo anapaswa kufua mavazi yake, na yeyote anayekula chakula katika nyumba hiyo anapaswa kufua mavazi yake.
15 Mtu yeyote, awe ni mwenyeji au mgeni, akila mnyama aliyepatikana amekufa au aliyeraruliwa na mnyama wa mwituni,+ basi ni lazima afue mavazi yake na kuoga kwenye maji,+ naye hatakuwa safi mpaka jioni.
6 Mtu anayegusa kitu chochote kati ya vitu hivyo hatakuwa safi mpaka jioni, naye hapaswi kula kitu chochote kitakatifu, badala yake anapaswa kuoga kwenye maji.+