Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 11:24, 25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Wadudu hao watawafanya msiwe safi. Kila mtu anayegusa mizoga yao hatakuwa safi mpaka jioni.+ 25 Kila mtu anayebeba mizoga yao anapaswa kufua mavazi yake;+ hatakuwa safi mpaka jioni.

  • Mambo ya Walawi 14:46, 47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Lakini mtu yeyote atakayeingia ndani ya nyumba hiyo siku yoyote itakapokuwa imetengwa,+ hatakuwa safi mpaka jioni;+ 47 na yeyote anayelala katika nyumba hiyo anapaswa kufua mavazi yake, na yeyote anayekula chakula katika nyumba hiyo anapaswa kufua mavazi yake.

  • Mambo ya Walawi 17:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Mtu yeyote, awe ni mwenyeji au mgeni, akila mnyama aliyepatikana amekufa au aliyeraruliwa na mnyama wa mwituni,+ basi ni lazima afue mavazi yake na kuoga kwenye maji,+ naye hatakuwa safi mpaka jioni.

  • Mambo ya Walawi 22:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mtu anayegusa kitu chochote kati ya vitu hivyo hatakuwa safi mpaka jioni, naye hapaswi kula kitu chochote kitakatifu, badala yake anapaswa kuoga kwenye maji.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki