Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 14:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Hii ndiyo sheria inayomhusu mtu mwenye ukoma ambayo inapaswa kufuatwa siku ambayo utakaso wake unathibitishwa, anapopelekwa kwa kuhani.+

  • Mambo ya Walawi 14:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Ni lazima mtu anayejitakasa afue mavazi yake, anyoe nywele zake zote, na kuoga kwa maji, kisha atakuwa safi. Baada ya hayo, anaweza kurudi kambini, lakini atakaa nje ya hema lake kwa siku saba.

  • Mambo ya Walawi 15:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Waambieni Waisraeli, ‘Mwanamume akitokwa na umajimaji kwenye kiungo chake cha uzazi,* umajimaji huo unamfanya asiwe safi.+

  • Mambo ya Walawi 15:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Mtu anayegusa kitanda cha mtu huyo ni lazima afue mavazi yake na kuoga kwenye maji, naye hatakuwa safi mpaka jioni.+

  • Hesabu 19:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Yule anayekusanya majivu ya ng’ombe huyo atafua mavazi yake, na hatakuwa safi mpaka jioni.

      “‘Hiyo itakuwa sheria ya kudumu kwa Waisraeli na wageni wanaoishi miongoni mwao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki