Hesabu 19:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na yule anayekusanya majivu ya yule ng’ombe atayafua mavazi yake na kuwa asiye safi mpaka jioni.+ “‘Nayo itakuwa sheria mpaka wakati usio na kipimo kwa wana wa Israeli na mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni katikati yao.+
10 Na yule anayekusanya majivu ya yule ng’ombe atayafua mavazi yake na kuwa asiye safi mpaka jioni.+ “‘Nayo itakuwa sheria mpaka wakati usio na kipimo kwa wana wa Israeli na mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni katikati yao.+