Kutoka 12:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Sheria moja itakuwapo kwa ajili ya mwenyeji na kwa ajili ya mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni katikati yenu.”+ Mambo ya Walawi 24:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “‘Uamuzi mmoja wa hukumu utatumika kwenu. Mkaaji mgeni atakuwa sawa na mwenyeji,+ kwa sababu mimi ni Yehova Mungu wenu.’”+ Hesabu 15:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ninyi mlio wa kutaniko na yule mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni mtakuwa na sheria moja.+ Itakuwa sheria mpaka wakati usio na kipimo kwa ajili ya vizazi vyenu. Mkaaji mgeni atakuwa sawa nanyi mbele za Yehova.+
49 Sheria moja itakuwapo kwa ajili ya mwenyeji na kwa ajili ya mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni katikati yenu.”+
22 “‘Uamuzi mmoja wa hukumu utatumika kwenu. Mkaaji mgeni atakuwa sawa na mwenyeji,+ kwa sababu mimi ni Yehova Mungu wenu.’”+
15 Ninyi mlio wa kutaniko na yule mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni mtakuwa na sheria moja.+ Itakuwa sheria mpaka wakati usio na kipimo kwa ajili ya vizazi vyenu. Mkaaji mgeni atakuwa sawa nanyi mbele za Yehova.+