Hesabu 19:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yule anayekusanya majivu ya ng’ombe huyo atafua mavazi yake, na hatakuwa safi mpaka jioni. “‘Hiyo itakuwa sheria ya kudumu kwa Waisraeli na wageni wanaoishi miongoni mwao.+
10 Yule anayekusanya majivu ya ng’ombe huyo atafua mavazi yake, na hatakuwa safi mpaka jioni. “‘Hiyo itakuwa sheria ya kudumu kwa Waisraeli na wageni wanaoishi miongoni mwao.+