Kumbukumbu la Torati 12:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini msile damu kamwe;+ mnapaswa kuimwaga ardhini kama maji.+ Kumbukumbu la Torati 15:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini hampaswi kula damu yake;+ mtaimwaga ardhini kama maji.+