Mwanzo 9:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ila tu nyama pamoja na uhai wake*—damu yake+—hampaswi kula.+ Mambo ya Walawi 7:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “‘Hampaswi kula damu yoyote+ mahali popote mnapoishi, iwe ni damu ya ndege au ya mnyama. Matendo 15:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 bali kuwaandikia wajiepushe na vitu vilivyochafuliwa na sanamu,+ na uasherati,*+ na vitu vilivyonyongwa,* na damu.+ Matendo 15:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 kuendelea kujiepusha na vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu,+ na damu,+ na vitu vilivyonyongwa,*+ na uasherati.*+ Mkijiepusha kwa uangalifu na mambo haya, mtafanikiwa. Afya njema kwenu!”*
20 bali kuwaandikia wajiepushe na vitu vilivyochafuliwa na sanamu,+ na uasherati,*+ na vitu vilivyonyongwa,* na damu.+
29 kuendelea kujiepusha na vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu,+ na damu,+ na vitu vilivyonyongwa,*+ na uasherati.*+ Mkijiepusha kwa uangalifu na mambo haya, mtafanikiwa. Afya njema kwenu!”*