Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 9:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ila tu nyama pamoja na uhai wake*—damu yake+—hampaswi kula.+

  • Mambo ya Walawi 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “‘Ni sheria ya kudumu kwa vizazi vyenu, katika makao yenu yote: Msile mafuta yoyote wala damu+ yoyote.’”

  • Mambo ya Walawi 7:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “‘Hampaswi kula damu yoyote+ mahali popote mnapoishi, iwe ni damu ya ndege au ya mnyama.

  • Mambo ya Walawi 17:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “‘Mwisraeli yeyote au mgeni yeyote anayeishi miongoni mwenu akila damu yoyote ile,+ kwa hakika nitamkataa* mtu anayekula damu, nami nitamwangamiza atoke miongoni mwa watu wake.

  • Kumbukumbu la Torati 12:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Lakini msile damu kamwe;+ mnapaswa kuimwaga ardhini kama maji.+

  • Kumbukumbu la Torati 12:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Ila tu mwazimie kwa uthabiti kutokula damu,+ kwa sababu damu ndiyo uhai,* nanyi hampaswi kula uhai*+ pamoja na nyama.

  • 1 Samweli 14:32, 33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Basi watu wakaanza kukimbilia nyara kwa pupa, wakachukua kondoo na ng’ombe na ndama na kuwachinjia ardhini, nao wakala nyama pamoja na damu.+ 33 Basi Sauli akaambiwa hivi: “Tazama! Watu wanamtendea Yehova dhambi kwa kula nyama pamoja na damu.”+ Ndipo akasema: “Mmetenda kwa ukosefu wa imani. Bingirisheni jiwe kubwa juu yangu mara moja.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki