10 “‘Mwisraeli yeyote au mgeni yeyote anayeishi miongoni mwenu akila damu yoyote ile,+ kwa hakika nitamkataa* mtu anayekula damu, nami nitamwangamiza atoke miongoni mwa watu wake.
33 Basi Sauli akaambiwa hivi: “Tazama! Watu wanamtendea Yehova dhambi kwa kula nyama pamoja na damu.”+ Ndipo akasema: “Mmetenda kwa ukosefu wa imani. Bingirisheni jiwe kubwa juu yangu mara moja.”
29 kuendelea kujiepusha na vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu,+ na damu,+ na vitu vilivyonyongwa,*+ na uasherati.*+ Mkijiepusha kwa uangalifu na mambo haya, mtafanikiwa. Afya njema kwenu!”*