Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 9:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ila tu nyama pamoja na uhai wake*—damu yake+—hampaswi kula.+

  • Mambo ya Walawi 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “‘Ni sheria ya kudumu kwa vizazi vyenu, katika makao yenu yote: Msile mafuta yoyote wala damu+ yoyote.’”

  • Mambo ya Walawi 17:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “‘Mwisraeli yeyote au mgeni yeyote anayeishi miongoni mwenu akila damu yoyote ile,+ kwa hakika nitamkataa* mtu anayekula damu, nami nitamwangamiza atoke miongoni mwa watu wake.

  • Kumbukumbu la Torati 12:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Lakini msile damu kamwe;+ mnapaswa kuimwaga ardhini kama maji.+

  • 1 Samweli 14:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Basi Sauli akaambiwa hivi: “Tazama! Watu wanamtendea Yehova dhambi kwa kula nyama pamoja na damu.”+ Ndipo akasema: “Mmetenda kwa ukosefu wa imani. Bingirisheni jiwe kubwa juu yangu mara moja.”

  • Matendo 15:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 bali kuwaandikia wajiepushe na vitu vilivyochafuliwa na sanamu,+ na uasherati,*+ na vitu vilivyonyongwa,* na damu.+

  • Matendo 15:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 kuendelea kujiepusha na vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu,+ na damu,+ na vitu vilivyonyongwa,*+ na uasherati.*+ Mkijiepusha kwa uangalifu na mambo haya, mtafanikiwa. Afya njema kwenu!”*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki