Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 25:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 “Utatengeneza kinara cha taa+ cha dhahabu safi. Kinara hicho cha taa kitatengenezwa kwa nyundo. Sehemu yake ya chini, shina lake, matawi yake, vikombe vyake, matumba yake, na maua yake yatatengenezwa kwa kipande kimoja cha dhahabu.+

  • Kutoka 39:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Wakamletea Musa hema la ibada+ pamoja na vifaa vyake vyote: vibanio vyake,+ viunzi vyake,+ fito zake,+ nguzo zake na vikalio vyake;+

  • Kutoka 39:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 kinara cha taa cha dhahabu safi, taa zake,+ safu zake za taa, na vyombo vyake vyote+ na mafuta kwa ajili ya taa hizo;+

  • Waebrania 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa maana chumba cha kwanza cha hema kilijengwa, na ndani yake mlikuwa na kinara cha taa+ na meza na mikate ya toleo;*+ nacho kinaitwa Mahali Patakatifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki