Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Yeyote anayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake mwenyewe itamwagwa+ na mwanadamu, kwa maana Mungu alimuumba mwanadamu+ kwa mfano Wake.

  • Kutoka 21:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Yeyote anayempiga mtu na kumuua lazima auawe.+

  • Hesabu 35:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Hampaswi kuchukua fidia yoyote kwa ajili ya uhai wa* muuaji anayestahili kufa, kwa maana ni lazima auawe.+

  • Kumbukumbu la Torati 19:11-13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Lakini ikiwa mtu alikuwa akimchukia jirani yake,+ akamvizia, akamjeruhi vibaya sana na kumuua, na mtu huyo amekimbilia katika mojawapo ya majiji hayo, 12 basi wazee wa jiji lake wanapaswa kumwita kutoka humo na kumtia mikononi mwa yule anayelipiza kisasi cha damu, naye lazima afe.+ 13 Hampaswi kumhurumia,* nanyi lazima mwondoe hatia ya damu isiyo na hatia kutoka katika Israeli,+ ili mambo yawaendee vyema.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki