Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 24:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “‘Mtu anayemuua mwanadamu mwenzake* lazima auawe.+

  • Mambo ya Walawi 24:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Mtu anayempiga na kumuua mnyama anapaswa kulipa fidia,+ lakini mtu anayempiga na kumuua mwanadamu anapaswa kuuawa.+

  • Hesabu 35:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 “‘Msiichafue nchi mnayoishi ndani yake, kwa sababu damu inachafua nchi,+ na hakuna msamaha kwa ajili ya damu iliyomwagwa nchini isipokuwa kwa kumwaga damu ya yule aliyeimwaga.+

  • 2 Samweli 21:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Basi katika siku za Daudi kulikuwa na njaa kali+ kwa miaka mitatu mfululizo, kwa hiyo Daudi akamwomba Yehova ushauri, kisha Yehova akasema: “Sauli na nyumba yake wana hatia ya damu, kwa sababu aliwaua Wagibeoni.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki