Kutoka 22:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Mtu akiiba ng’ombe dume au kondoo na kumchinja au kumuuza, atalipa ng’ombe dume watano kwa ajili ya ng’ombe dume huyo na kondoo wanne kwa ajili ya kondoo huyo.+
22 “Mtu akiiba ng’ombe dume au kondoo na kumchinja au kumuuza, atalipa ng’ombe dume watano kwa ajili ya ng’ombe dume huyo na kondoo wanne kwa ajili ya kondoo huyo.+