-
Hesabu 15:27-29Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
27 “‘Mtu yeyote akifanya dhambi bila kukusudia, atatoa mbuzi jike wa mwaka mmoja kwa ajili ya dhabihu ya dhambi.+ 28 Kisha kuhani atatoa dhabihu ili mtu aliyetenda dhambi mbele za Yehova bila kukusudia asamehewe dhambi yake, yaani, atamtolea dhabihu ya kufunika dhambi yake, na mtu huyo atasamehewa.+ 29 Waisraeli wenyeji na pia wageni wanaoishi miongoni mwao watafuata sheria zilezile zinazomhusu mtu anayetenda kosa bila kukusudia.+
-