Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 12:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Sheria ileile itafuatwa na mwenyeji na mgeni anayeishi miongoni mwenu.”+

  • Mambo ya Walawi 24:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “‘Sheria itakuwa moja kwenu, iwe ni mgeni au mwenyeji,+ kwa sababu mimi ni Yehova Mungu wenu.’”

  • Hesabu 9:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “‘Ikiwa unaishi na mgeni, anapaswa pia kumtayarishia Yehova dhabihu ya Pasaka.+ Anapaswa kuitayarisha kulingana na sheria na utaratibu uliowekwa wa Pasaka.+ Ninyi nyote mtafuata sheria moja, mkaaji mgeni pamoja na mwenyeji wa nchi.’”+

  • Hesabu 15:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ninyi pamoja na mgeni anayeishi miongoni mwenu mtafuata sheria zilezile. Itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyenu vyote. Ninyi pamoja na mgeni mtakuwa sawa mbele za Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki