Hesabu 35:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Waagize Waisraeli wawape Walawi majiji ya kuishi kutoka katika urithi watakaomiliki,+ nao wanapaswa kuwapa Walawi malisho yanayozunguka majiji hayo.+ Hesabu 35:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Majiji mtakayowapa yatatoka katika urithi wa Waisraeli.+ Mtachukua majiji mengi kutoka kwa makabila makubwa na majiji machache kutoka kwa makabila madogo.+ Kila kabila litawapa Walawi baadhi ya majiji yake kulingana na urithi ambao litapokea.”
2 “Waagize Waisraeli wawape Walawi majiji ya kuishi kutoka katika urithi watakaomiliki,+ nao wanapaswa kuwapa Walawi malisho yanayozunguka majiji hayo.+
8 Majiji mtakayowapa yatatoka katika urithi wa Waisraeli.+ Mtachukua majiji mengi kutoka kwa makabila makubwa na majiji machache kutoka kwa makabila madogo.+ Kila kabila litawapa Walawi baadhi ya majiji yake kulingana na urithi ambao litapokea.”