Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 49:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na ilaaniwe hasira yao, kwa sababu ni katili, na ghadhabu yao, kwa sababu ni kali.+ Acheni niwatawanye katika Yakobo, na acheni niwasambaze katika Israeli.+

  • Kumbukumbu la Torati 18:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Makuhani Walawi, naam, kabila lote la Lawi, halitakuwa na fungu au urithi pamoja na Waisraeli. Watakula dhabihu zinazochomwa kwa moto zinazotolewa kwa Yehova, ambazo ni urithi wake.+

  • Yoshua 14:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Wazao wa Yosefu walihesabiwa kuwa makabila mawili,+ Manase na Efraimu;+ nao hawakuwagawia Walawi urithi nchini, isipokuwa majiji+ ya kuishi na malisho kwa ajili ya mifugo yao na mali zao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki