7 Na ilaaniwe hasira yao, kwa sababu ni katili, na ghadhabu yao, kwa sababu ni kali.+ Acheni niwatawanye katika Yakobo, na acheni niwasambaze katika Israeli.+
18“Makuhani Walawi, naam, kabila lote la Lawi, halitakuwa na fungu au urithi pamoja na Waisraeli. Watakula dhabihu zinazochomwa kwa moto zinazotolewa kwa Yehova, ambazo ni urithi wake.+
4 Wazao wa Yosefu walihesabiwa kuwa makabila mawili,+ Manase na Efraimu;+ nao hawakuwagawia Walawi urithi nchini, isipokuwa majiji+ ya kuishi na malisho kwa ajili ya mifugo yao na mali zao.+