Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 25:32-34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 “‘Lakini Walawi wana haki ya kukomboa nyumba zao zilizo katika majiji yao+ wakati wowote. 33 Mlawi asipokomboa nyumba yake, nyumba hiyo iliyouzwa katika jiji la Walawi itarudishwa wakati wa Mwadhimisho wa Miaka 50,+ kwa sababu nyumba zilizo katika majiji ya Walawi ni urithi wao miongoni mwa Waisraeli.+ 34 Isitoshe, malisho+ yanayozunguka majiji yao hayapaswi kuuzwa, kwa sababu ni urithi wao wa kudumu.

  • Yoshua 21:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Basi kwa agizo la Yehova, Waisraeli wakawapa Walawi majiji hayo+ na malisho yake kutoka katika urithi wao wenyewe.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 11:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Walawi waliacha malisho yao na miliki yao+ wakaja Yuda na Yerusalemu, kwa sababu Yeroboamu na wanawe walikuwa wamewaondoa ili wasiwe makuhani wa Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki