-
Mambo ya Walawi 25:32-34Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
32 “‘Lakini Walawi wana haki ya kukomboa nyumba zao zilizo katika majiji yao+ wakati wowote. 33 Mlawi asipokomboa nyumba yake, nyumba hiyo iliyouzwa katika jiji la Walawi itarudishwa wakati wa Mwadhimisho wa Miaka 50,+ kwa sababu nyumba zilizo katika majiji ya Walawi ni urithi wao miongoni mwa Waisraeli.+ 34 Isitoshe, malisho+ yanayozunguka majiji yao hayapaswi kuuzwa, kwa sababu ni urithi wao wa kudumu.
-