Kutoka 22:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Msimtese wala kumkandamiza mkaaji mgeni,+ kwa sababu ninyi mlikuwa wakaaji wageni katika nchi ya Misri.+ Kutoka 23:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Hupaswi kumkandamiza mkaaji mgeni. Mnajua jinsi mgeni anavyohisi,* kwa sababu mlikuwa wakaaji wageni katika nchi ya Misri.+ Mambo ya Walawi 19:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Mgeni anayeishi pamoja nanyi mtamwona kama mwenyeji;+ nanyi lazima mumpende kama mnavyojipenda wenyewe, kwa maana mlikuwa wageni nchini Misri.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu. Kumbukumbu la Torati 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hutekeleza haki kwa ajili ya yatima na mjane+ na kumpenda mkaaji mgeni,+ humpa chakula na mavazi.
21 “Msimtese wala kumkandamiza mkaaji mgeni,+ kwa sababu ninyi mlikuwa wakaaji wageni katika nchi ya Misri.+
9 “Hupaswi kumkandamiza mkaaji mgeni. Mnajua jinsi mgeni anavyohisi,* kwa sababu mlikuwa wakaaji wageni katika nchi ya Misri.+
34 Mgeni anayeishi pamoja nanyi mtamwona kama mwenyeji;+ nanyi lazima mumpende kama mnavyojipenda wenyewe, kwa maana mlikuwa wageni nchini Misri.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.