Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Yehova atafanya maadui wanaowashambulia washindwe mbele yenu.+ Watawashambulia kutoka upande mmoja, lakini watawakimbia wakielekea pande saba tofauti.+

  • Yoshua 23:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mtu mmoja tu kati yenu atawakimbiza watu elfu,+ kwa sababu Yehova Mungu wenu anawapigania,+ kama alivyowaahidi.+

  • Waamuzi 7:15, 16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Mara tu Gideoni alipomsikia akisimulia ndoto hiyo na kueleza maana yake,+ akainama chini na kuabudu. Kisha akarudi katika kambi ya Waisraeli na kusema, “Twendeni, kwa kuwa Yehova ameitia kambi ya Wamidiani mikononi mwenu.” 16 Basi akawagawa wale wanaume 300 katika vikosi vitatu na kuwapa wote pembe*+ na mitungi mikubwa mitupu yenye mienge.

  • Waamuzi 15:15, 16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Akaona utaya mbichi wa punda dume; akauchukua na kuutumia kuua wanaume 1,000.+ 16 Kisha Samsoni akasema:

      “Kwa utaya wa punda—rundo moja, marundo mawili!

      Kwa utaya wa punda nimeua wanaume 1,000.”+

  • 1 Mambo ya Nyakati 11:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Abishai+ ndugu ya Yoabu+ akawa kiongozi wa wengine watatu; alitumia mkuki wake kuwaua watu 300, naye alikuwa maarufu kama wale watatu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki