-
Waamuzi 7:15, 16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
15 Mara tu Gideoni alipomsikia akisimulia ndoto hiyo na kueleza maana yake,+ akainama chini na kuabudu. Kisha akarudi katika kambi ya Waisraeli na kusema, “Twendeni, kwa kuwa Yehova ameitia kambi ya Wamidiani mikononi mwenu.” 16 Basi akawagawa wale wanaume 300 katika vikosi vitatu na kuwapa wote pembe*+ na mitungi mikubwa mitupu yenye mienge.
-