3 Kisha Musa akaja na kuwaambia watu maneno yote ya Yehova na sheria zote,*+ na watu wote wakajibu hivi kwa sauti moja: “Maneno yote ambayo Yehova amesema, tuko tayari kuyafanya.”+
8 Basi Musa akachukua damu akawanyunyizia watu+ na kusema: “Hii ndiyo damu ya agano ambalo Yehova amefanya pamoja nanyi kulingana na maneno hayo yote.”+
9 Nilipopanda mlimani ili kupokea yale mabamba ya mawe,+ mabamba ya agano ambalo Yehova alifanya pamoja nanyi,+ nilikaa mlimani siku 40 mchana na usiku,+ sikula chakula wala kunywa maji.