Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 1:4, 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha dhabihu hiyo ya kuteketezwa, nayo itakubaliwa kwa niaba yake ili kufunika dhambi zake.

      5 “‘Kisha huyo ng’ombe dume mchanga atachinjwa mbele za Yehova, nao wana wa Haruni, makuhani,+ wataleta damu ya mnyama huyo na kuinyunyiza pande zote za madhabahu,+ kwenye mlango wa hema la mkutano.

  • Mambo ya Walawi 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Mnyama wa dhabihu ya hatia atachinjiwa mahali ambapo dhabihu za kuteketezwa huchinjwa, na damu yake+ itanyunyizwa pande zote za madhabahu.+

  • Waebrania 9:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Ndiyo, kulingana na Sheria karibu vitu vyote husafishwa kwa damu,+ na hakuna msamaha unaopatikana bila kumwaga damu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki