Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 16:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Zingatieni kwamba mimi, Yehova, nimewapa Sabato.+ Ndiyo sababu katika siku ya sita ninawapa mkate wa siku mbili. Kila mtu anapaswa kukaa mahali alipo; hakuna yeyote anayepaswa kutoka kwake siku ya saba.”

  • Kutoka 20:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 lakini siku ya saba ni sabato kwa Yehova Mungu wako. Usifanye kazi yoyote, wewe wala mwana wako wala binti yako wala mtumwa wako wala kijakazi wako wala mnyama wako wa kufugwa wala mgeni aliye katika makazi* yako.+

  • Ezekieli 20:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Pia nikawapa sabato zangu,+ ziwe ishara kati yangu nao,+ ili wajue kwamba mimi, Yehova, ndiye ninayewatakasa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki