Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 20:8-10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Ikumbuke siku ya Sabato na uione kuwa takatifu.+ 9 Fanya shughuli na kazi zako zote kwa siku sita,+ 10 lakini siku ya saba ni sabato kwa Yehova Mungu wako. Usifanye kazi yoyote, wewe wala mwana wako wala binti yako wala mtumwa wako wala kijakazi wako wala mnyama wako wa kufugwa wala mgeni aliye katika makazi* yako.+

  • Mambo ya Walawi 23:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “‘Mnaweza kufanya kazi kwa siku sita, lakini siku ya saba ni sabato ya pumziko kamili,+ kusanyiko takatifu. Hamtafanya kazi yoyote. Ni sabato kwa Yehova popote mnapoishi.+

  • Mambo ya Walawi 23:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “Waambie hivi Waisraeli: ‘Siku ya kwanza ya mwezi wa saba, mtakuwa na pumziko kamili, mtaadhimisha kusanyiko takatifu litakalotangazwa kwa mlio wa tarumbeta.+

  • Mambo ya Walawi 25:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Lakini katika mwaka wa saba nchi itakuwa na pumziko kamili la sabato, sabato ya Yehova. Hampaswi kupanda mbegu wala kupunguza matawi ya mizabibu yenu.

  • Mambo ya Walawi 25:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mwaka huo utakuwa mwaka wa Mwadhimisho wa Miaka 50. Hamtapanda mbegu wala kuvuna nafaka iliyoota yenyewe wala kuchuma zabibu kutoka kwenye mizabibu ambayo haijapunguzwa matawi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki