-
Kumbukumbu la Torati 1:26-28Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
26 Lakini mlikataa kupanda kwenda huko, nanyi mkaliasi agizo la Yehova Mungu wenu.+ 27 Mliendelea kunung’unika katika mahema yenu na kusema, ‘Yehova alituchukia ndiyo sababu alitutoa katika nchi ya Misri ili atutie mikononi mwa Waamori watuangamize. 28 Tunaenda mahali pa aina gani? Ndugu zetu walituvunja moyo*+ waliposema, “Watu hao wana nguvu zaidi na ni warefu zaidi kuliko sisi, na majiji yao ni makubwa na yana ngome zinazofika mbinguni,*+ na huko tuliwaona wana wa Waanaki.”’+
-