Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 18:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Basi Yethro, baba mkwe wa Musa, pamoja na wana na mke wa Musa, wakaja kwa Musa nyikani ambako alikuwa amepiga kambi karibu na mlima wa Mungu wa kweli.+

  • Kutoka 19:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Katika mwezi wa tatu baada ya Waisraeli kutoka nchini Misri, siku ileile, walifika katika nyika ya Sinai. 2 Waliondoka Refidimu+ wakafika katika nyika ya Sinai na kupiga kambi nyikani. Waisraeli walipiga kambi huko mbele ya mlima.+

  • Hesabu 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Na Yehova akazungumza na Musa katika nyika ya Sinai,+ kwenye hema la mkutano,+ siku ya kwanza ya mwezi wa pili katika mwaka wa pili baada ya Waisraeli kutoka nchini Misri.+ Akamwambia:

  • Hesabu 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Hata hivyo, Nadabu na Abihu walikufa mbele za Yehova walipomtolea Yehova moto haramu+ katika nyika ya Sinai, nao hawakuwa na wana wowote. Lakini Eleazari+ na Ithamari+ waliendelea kutumikia wakiwa makuhani pamoja na Haruni baba yao.

  • Hesabu 9:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Yehova akazungumza na Musa katika nyika ya Sinai katika mwezi wa kwanza+ wa mwaka wa pili baada ya wao kutoka nchini Misri, akamwambia:

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki