5 Basi Yethro, baba mkwe wa Musa, pamoja na wana na mke wa Musa, wakaja kwa Musa nyikani ambako alikuwa amepiga kambi karibu na mlima wa Mungu wa kweli.+
19Katika mwezi wa tatu baada ya Waisraeli kutoka nchini Misri, siku ileile, walifika katika nyika ya Sinai. 2 Waliondoka Refidimu+ wakafika katika nyika ya Sinai na kupiga kambi nyikani. Waisraeli walipiga kambi huko mbele ya mlima.+
1Na Yehova akazungumza na Musa katika nyika ya Sinai,+ kwenye hema la mkutano,+ siku ya kwanza ya mwezi wa pili katika mwaka wa pili baada ya Waisraeli kutoka nchini Misri.+ Akamwambia:
4 Hata hivyo, Nadabu na Abihu walikufa mbele za Yehova walipomtolea Yehova moto haramu+ katika nyika ya Sinai, nao hawakuwa na wana wowote. Lakini Eleazari+ na Ithamari+ waliendelea kutumikia wakiwa makuhani pamoja na Haruni baba yao.