Waamuzi 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Lakini Wabenjamini hawakuwafukuza Wayebusi waliokaa Yerusalemu, kwa hiyo Wayebusi wanakaa na Wabenjamini jijini Yerusalemu mpaka leo.+ Zaburi 106:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Hawakuyaangamiza mataifa,+Kama Yehova alivyokuwa amewaamuru.+
21 Lakini Wabenjamini hawakuwafukuza Wayebusi waliokaa Yerusalemu, kwa hiyo Wayebusi wanakaa na Wabenjamini jijini Yerusalemu mpaka leo.+