Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 34:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nanyi mtachukua mkuu mmoja kutoka katika kila kabila ili awasaidie kuigawanya nchi mtakayorithi.+

  • Kumbukumbu la Torati 32:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Aliye Juu Zaidi alipoyapa mataifa urithi wao,+

      Alipowatenganisha wana wa Adamu,*+

      Aliweka mpaka wa mataifa+

      Kulingana na idadi ya wana wa Israeli.+

  • Yoshua 19:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Huo ndio urithi ambao kuhani Eleazari, Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa koo* za makabila ya Waisraeli waligawanya+ kwa kura kule Shilo+ mbele za Yehova, kwenye mlango wa hema la mkutano.+ Basi wakamaliza kuigawanya nchi.

  • Matendo 17:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Naye alifanyiza kila taifa la watu kutoka kwa mtu mmoja+ ili wakae juu ya uso wa dunia nzima,+ na akaamuru nyakati na kuweka mipaka ya makao ya watu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki