Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:41-43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Wakati huo Musa alitenga majiji matatu upande wa mashariki wa Yordani.+ 42 Mtu yeyote anayemuua mwenzake bila kukusudia na hakuwa akimchukia,+ ni lazima akimbilie katika mojawapo ya majiji hayo ili aishi.+ 43 Majiji hayo ni Beseri+ kule nyikani katika uwanda wa juu kwa ajili ya watu wa kabila la Rubeni, Ramothi+ kule Gileadi kwa ajili ya watu wa kabila la Gadi, na Golani+ kule Bashani kwa ajili ya watu wa kabila la Manase.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki