-
Hesabu 18:15, 16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
15 “Kila mzaliwa wa kwanza wa viumbe wote walio hai,+ ambaye watanitolea mimi Yehova, awe ni mwanadamu au mnyama, anapaswa kuwa wako. Hata hivyo, ni lazima uwakomboe wazaliwa wa kwanza wa wanadamu,+ na unapaswa pia kuwakomboa wazaliwa wa kwanza wa wanyama wasio safi.+ 16 Unapaswa kumkomboa mzaliwa wa kwanza kwa bei ya ukombozi akiwa na umri wa kuanzia mwezi mmoja na zaidi, kwa thamani iliyokadiriwa ya shekeli tano za fedha,*+ kulingana na shekeli ya kawaida ya mahali patakatifu.* Ni gera 20.*
-