Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 10:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Wewe na wanao msinywe divai au kileo chochote mnapoingia katika hema la mkutano,+ msije mkafa. Ni sheria ya kudumu katika vizazi vyenu.

  • Amosi 2:11, 12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Niliwainua baadhi ya wana wako kuwa manabii+

      Na baadhi ya vijana wako wa kiume kuwa Wanadhiri.+

      Je, sivyo ilivyo, enyi watu wa Israeli?’ asema Yehova.

      12 ‘Lakini uliendelea kuwapa Wanadhiri divai wanywe,+

      Nawe ukawaamuru hivi manabii: “Hampaswi kutoa unabii.”+

  • Luka 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 kwa maana atakuwa mkuu mbele za Yehova.*+ Lakini hapaswi kamwe kunywa divai wala kileo,+ naye atajazwa roho takatifu hata kabla ya kuzaliwa,*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki