22 Kisha Haruni akainua mikono yake kuelekea watu, akawabariki,+ naye akashuka chini baada ya kutoa dhabihu ya dhambi na dhabihu ya kuteketezwa na dhabihu za ushirika.
8 “Wakati huo Yehova aliliteua kabila la Lawi+ ili libebe sanduku la agano la Yehova,+ lisimame mbele za Yehova ili kumhudumia, na kubariki katika jina lake,+ kama linavyofanya mpaka leo.