Zaburi 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana utambariki yeyote aliye mwadilifu, Ee Yehova;Utawazunguka kwa kibali kana kwamba kwa ngao kubwa.+ Zaburi 67:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mungu atatubariki,Na miisho yote ya dunia itamwogopa* yeye.+
12 Kwa maana utambariki yeyote aliye mwadilifu, Ee Yehova;Utawazunguka kwa kibali kana kwamba kwa ngao kubwa.+