Mwanzo 30:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lea akasema: “Mungu amenipa mimi zawadi, naam, amenipa mimi zawadi nzuri. Hatimaye, mume wangu atanivumilia,+ kwa maana nimemzalia wana sita.”+ Basi akampa jina Zabuloni.*+ Hesabu 2:7, 8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha kabila la Zabuloni; mkuu wa wana wa Zabuloni ni Eliabu+ mwana wa Heloni. 8 Wale walioandikishwa katika jeshi lake ni watu 57,400.+
20 Lea akasema: “Mungu amenipa mimi zawadi, naam, amenipa mimi zawadi nzuri. Hatimaye, mume wangu atanivumilia,+ kwa maana nimemzalia wana sita.”+ Basi akampa jina Zabuloni.*+
7 Kisha kabila la Zabuloni; mkuu wa wana wa Zabuloni ni Eliabu+ mwana wa Heloni. 8 Wale walioandikishwa katika jeshi lake ni watu 57,400.+