Hesabu 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi wakuu wakaleta matoleo yao siku ya kuzindua*+ madhabahu na kuitia mafuta. Wakuu walipoleta matoleo yao mbele ya madhabahu, Ezra 2:68 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 68 Walipofika kwenye nyumba ya Yehova kule Yerusalemu, baadhi ya viongozi wa koo* wakatoa matoleo ya hiari+ kwa ajili ya nyumba ya Mungu wa kweli, ili kuijenga upya* mahali ilipokuwa.+
10 Basi wakuu wakaleta matoleo yao siku ya kuzindua*+ madhabahu na kuitia mafuta. Wakuu walipoleta matoleo yao mbele ya madhabahu,
68 Walipofika kwenye nyumba ya Yehova kule Yerusalemu, baadhi ya viongozi wa koo* wakatoa matoleo ya hiari+ kwa ajili ya nyumba ya Mungu wa kweli, ili kuijenga upya* mahali ilipokuwa.+