21 Mtu yeyote akigusa kitu chochote kisicho safi, iwe ni uchafu wa mwanadamu+ au mnyama asiye safi+ au kitu chochote chenye kuchukiza kisicho safi,+ kisha ale nyama ya dhabihu ya ushirika, ambayo ni ya Yehova, ni lazima auawe.’”
2 Nanyi mnapaswa kumtolea Yehova Mungu wenu dhabihu ya Pasaka+ kutoka katika kondoo wenu na ng’ombe wenu,+ mahali ambapo Yehova atachagua jina lake likae hapo.+