7 Nami nitawachukua muwe watu wangu, nami nitakuwa Mungu wenu,+ nanyi hakika mtajua kwamba mimi ni Yehova Mungu wenu anayewatoa kutoka chini ya mizigo ya Misri.
45 Kwa maana mimi ni Yehova, ninayewaongoza kupanda kutoka nchini Misri ili nijithibitishe mwenyewe kuwa Mungu wenu,+ nanyi lazima muwe watakatifu,+ kwa sababu mimi ni mtakatifu.+