Hesabu 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Mchukueni mwanamume mmoja kutoka katika kila kabila, kila mmoja wao anapaswa kuwa kiongozi wa ukoo wake.*+ Hesabu 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 wana wa Yosefu: kabila la Efraimu,+ Elishama mwana wa Amihudi; kabila la Manase, Gamalieli mwana wa Pedazuri; Hesabu 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Kundi la makabila matatu katika kambi ya Efraimu litapiga kambi upande wa magharibi, kulingana na vikosi vyake;* mkuu wa wana wa Efraimu ni Elishama+ mwana wa Amihudi. Hesabu 2:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Watu wote walioandikishwa katika majeshi ya kambi ya Efraimu ni 108,100, nao wanapaswa kuwa wa tatu kuondoka.+
4 “Mchukueni mwanamume mmoja kutoka katika kila kabila, kila mmoja wao anapaswa kuwa kiongozi wa ukoo wake.*+
10 wana wa Yosefu: kabila la Efraimu,+ Elishama mwana wa Amihudi; kabila la Manase, Gamalieli mwana wa Pedazuri;
18 “Kundi la makabila matatu katika kambi ya Efraimu litapiga kambi upande wa magharibi, kulingana na vikosi vyake;* mkuu wa wana wa Efraimu ni Elishama+ mwana wa Amihudi.
24 “Watu wote walioandikishwa katika majeshi ya kambi ya Efraimu ni 108,100, nao wanapaswa kuwa wa tatu kuondoka.+