Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 15:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Baada ya hayo neno la Yehova likamjia Abramu katika maono, likisema: “Usiogope,+ Abramu. Mimi ni ngao yako.+ Thawabu yako itakuwa kubwa sana.”+

  • Mwanzo 46:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kisha Mungu akaongea na Israeli katika maono usiku na kumwambia: “Yakobo, Yakobo!” naye akajibu: “Mimi hapa!”

  • Kutoka 24:9-11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Musa na Haruni, Nadabu na Abihu, na wazee 70 wa Israeli wakapanda mlimani, 10 nao wakamwona Mungu wa Israeli.+ Chini ya miguu yake palikuwa na kitu kilichoonekana kama sakafu ya yakuti, nacho kilikuwa safi kama mbingu zenyewe.+ 11 Hakuwadhuru wanaume hao wenye kuheshimika wa Israeli,+ nao walipata maono ya Mungu wa kweli, wakala na kunywa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki