Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 21:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Mfalme Mkanaani wa Aradi,+ aliyeishi Negebu, aliposikia kwamba Waisraeli walipitia njia ya Atharimu, aliwashambulia na kuwateka baadhi yao.

  • Hesabu 21:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa hiyo Yehova akawasikiliza Waisraeli na kuwatia Wakanaani mikononi mwao, Waisraeli wakawaangamiza pamoja na majiji yao. Basi wakapaita mahali hapo Horma.*+

  • Kumbukumbu la Torati 1:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Kisha Waamori waliokuwa wakikaa kwenye mlima huo wakatoka ili kuwashambulia, wakawakimbiza kama nyuki wanavyofanya na kuwatawanya kuanzia Seiri mpaka Horma.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki