-
Hesabu 26:7-9Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Hizo ndizo zilizokuwa koo za Warubeni, na watu walioandikishwa kutoka katika koo hizo walikuwa 43,730.+
8 Mwana wa Palu alikuwa Eliabu. 9 Na wana wa Eliabu walikuwa Nemueli, Dathani, na Abiramu. Huyu ndiye Dathani na Abiramu, wakuu wa Waisraeli ambao walimpinga Musa+ na Haruni na kujiunga na kikundi cha Kora+ kilichompinga Yehova.+
-