Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Hatimaye Samweli akawaambia hivi Waisraeli wote: “Tazameni nimefanya* mambo yote mliyoomba nifanye, nami nimemweka mfalme awatawale.+

  • 1 Samweli 12:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Niko mbele yenu. Toeni ushahidi dhidi yangu mbele za Yehova na mbele ya mtiwa-mafuta wake:+ Nimechukua ng’ombe dume wa nani au punda wa nani?+ Au nimemlaghai nani au kumkandamiza nani? Nimepokea rushwa kutoka kwa nani ili nipotoshe haki?*+ Ikiwa nimefanya hivyo, nitawarudishia.”+

  • Matendo 20:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Sikutamani fedha, dhahabu, wala mavazi ya mtu yeyote.+

  • 2 Wakorintho 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Tupatieni nafasi mioyoni mwenu.+ Hatujamkosea yeyote, hatujamharibu yeyote, hatujamdanganya yeyote ili tupate faida.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki