-
1 Samweli 11:14, 15Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
14 Baadaye Samweli akawaambia watu: “Njooni twende Gilgali+ tukamtangaze tena mfalme.”+ 15 Basi watu wote wakaenda Gilgali, na huko Gilgali wakamweka Sauli kuwa mfalme mbele za Yehova. Kisha wakatoa huko dhabihu za ushirika mbele za Yehova,+ na Sauli na watu wote wa Israeli wakasherehekea kwa shangwe kubwa.+
-