Hesabu 19:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mtu yeyote anayemgusa mtu aliyekufa* hatakuwa safi kwa siku saba.+ Hesabu 31:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nanyi mnapaswa kupiga kambi nje ya kambi kwa siku saba. Kila mtu miongoni mwenu ambaye amemuua mtu na kila mtu ambaye amemgusa mtu aliyeuawa+ anapaswa kujitakasa+ siku ya tatu na siku ya saba, ninyi na mateka wenu.
19 Nanyi mnapaswa kupiga kambi nje ya kambi kwa siku saba. Kila mtu miongoni mwenu ambaye amemuua mtu na kila mtu ambaye amemgusa mtu aliyeuawa+ anapaswa kujitakasa+ siku ya tatu na siku ya saba, ninyi na mateka wenu.