Hesabu 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Waamuru Waisraeli wamtoe nje ya kambi kila mtu mwenye ukoma+ na kila mtu anayetokwa na umajimaji+ na kila mtu aliyejichafua kwa kumgusa mtu aliyekufa.*+ Hesabu 19:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mtu yeyote anayemgusa mtu aliyekufa* hatakuwa safi kwa siku saba.+ Hesabu 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kila mtu aliye uwanjani anayemgusa mtu aliyeuawa kwa upanga au maiti au mfupa wa mtu au kaburi hatakuwa safi kwa siku saba.+
2 “Waamuru Waisraeli wamtoe nje ya kambi kila mtu mwenye ukoma+ na kila mtu anayetokwa na umajimaji+ na kila mtu aliyejichafua kwa kumgusa mtu aliyekufa.*+
16 Kila mtu aliye uwanjani anayemgusa mtu aliyeuawa kwa upanga au maiti au mfupa wa mtu au kaburi hatakuwa safi kwa siku saba.+