Hesabu 19:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “‘Mtu aliye safi atayakusanya majivu ya ng’ombe huyo+ na kuyapeleka mahali safi nje ya kambi, yatahifadhiwa na Waisraeli ili yatumiwe kutengenezea maji ya kutakasa.+ Ni dhabihu ya dhambi.
9 “‘Mtu aliye safi atayakusanya majivu ya ng’ombe huyo+ na kuyapeleka mahali safi nje ya kambi, yatahifadhiwa na Waisraeli ili yatumiwe kutengenezea maji ya kutakasa.+ Ni dhabihu ya dhambi.