13 Mtu yeyote anayemgusa mtu aliyekufa lakini hajitakasi amechafua hema la Yehova la ibada,+ na ni lazima mtu huyo auawe kutoka katika Israeli.+ Kwa sababu hajanyunyiziwa maji ya kutakasa,+ ataendelea kuwa mchafu. Yeye bado ni mchafu.
21 “‘Hii itakuwa sheria ya kudumu kwa ajili yao: Yule anayenyunyiza maji ya kutakasa+ anapaswa kufua mavazi yake, na yule anayegusa maji ya kutakasa hatakuwa safi mpaka jioni.