Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 14:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Wakamwambia Musa: “Je, ni kwa sababu hakuna makaburi huko Misri ndiyo sababu umetuleta hapa tufie nyikani?+ Ni jambo gani hili ulilotutendea kwa kututoa Misri?

  • Kutoka 17:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Lakini watu walikuwa na kiu sana mahali hapo, nao wakaendelea kumnung’unikia Musa+ wakisema: “Kwa nini umetupandisha kutoka Misri ili kutuua kwa kiu sisi na wana wetu na mifugo yetu?”

  • Hesabu 16:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Je, unafikiri ni jambo dogo kututoa katika nchi inayotiririka maziwa na asali ili utuue nyikani?+ Sasa, je, unataka kujifanya kiongozi mwenye mamlaka kamili juu yetu?* 14 Isitoshe, hujatuleta katika nchi yoyote inayotiririka maziwa na asali+ wala kutupatia urithi wa mashamba au shamba la mizabibu. Je, unataka kutoboa macho ya watu hawa? Sisi hatutakuja!”

  • Hesabu 21:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na watu wakaendelea kumnung’unikia Mungu na Musa,+ wakisema: “Kwa nini mmetutoa Misri ili tufe nyikani? Hakuna chakula wala maji,+ nasi tumeuchukia mkate huu unaochukiza.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki